Home > Terms > Swahili (SW) > maisha

maisha

Zawadi za Mungu kwa maisha ya binadamu na maisha yake Mungu tuliyopewa kama neema inayotakasa. Zaidi maana yake ya kawaida ya maisha ya binadamu, Yesu alitumia "maish " kuashiria kuwepo wake katika Utatu, ambayo inawezekana kwa wale ambao huitikia mwaliko wake ili kugeuka kutoka kwa dhambi na kufungua mioyo yao kwa upendo wa Mungu. Uzima wa milele kunaashiria kwamba zawadi hii itadumu milele katika furaha ya mbinguni. Kipawa hiki cha Mungu kinaanza na "maisha" ya imani na "maisha mapya" ya Ubatizo (1225), kinawasilishwa katika kutakatifuza neema (1997), na kufikia ukamilifu katika ushirika wa maisha na upendo na Utatu Mtakatifu mbinguni (1023).

0
  • Part of Speech: noun
  • Synonym(s):
  • Blossary:
  • Industry/Domain: Religion
  • Category: Catholic church
  • Company:
  • Product:
  • Acronym-Abbreviation:
Collect to Blossary

Member comments

You have to log in to post to discussions.

Terms in the News

Featured Terms

edithrono
  • 0

    Terms

  • 0

    Blossaries

  • 1

    Followers

Industry/Domain: Festivals Category: Christmas

malaika

Wajumbe wa Mungu ambao walijionyesha kwa Wachungaji wakitangaza kuzaliwa kwa Yesu.

Contributor

Featured blossaries

20 types of friends every woman has

Category: Entertainment   5 22 Terms

The Mortal Instruments: City of Bones Movie

Category: Entertainment   1 21 Terms