Home > Terms > Swahili (SW) > lugha geni

lugha geni

lugha geni ni lugha ya nje isiyopatikana katika nchi fulani. pia ni lugha isiyozungumzwa katika nchi asili ya mtu anayerejelewa, hivi kwamba mtu anayezungumza kizungu na anaishi ujapani anaweza sema kuwa kijapani ni lugha geni kwake. ingawaje sifa hizi mbili hazitoi maelezo kamili, hata hivyo, kubandikwa huku saa zingine hutumika kwa njia zinazopotosha usahihi wa maana.

0
Collect to Blossary

Member comments

You have to log in to post to discussions.

Terms in the News

Featured Terms

ogongo3
  • 0

    Terms

  • 0

    Blossaries

  • 3

    Followers

Industry/Domain: People Category: Pageantry

Teresa Scanlan (almasi, Watu, pambo)

mshindi wa kumsaka Miss America 2011.. Scanlan, 17 mwenye umri wa miaka ya hivi karibuni na kuhitimu kutoka shule ya sekondari ya mji wa magharibi ...

Featured blossaries

The strangest food from around the world

Category: Food   1 26 Terms

Elvis Presley

Category: Entertainment   1 1 Terms

Browers Terms By Category